Kijiji cha Kahunda charindima Kwa nderemo na vifijo Na. Beatus Maganja Maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA kwa kushirikiana na wananchi wa Kijiji cha Kahunda kilichopo Kata ya Katwe Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema na mkoa wa Mwanza wamefanikiwa kumdhibiti mamba aliyezua taharuki takribani wiki nzima Kijijini humo kabla ya kuleta …
Tag: Tanzania
Afrika Yafaidika Na Maendeleo Na Ushirikiano Wa China
Afrika, ikiwa ni pamoja na Tanzania, imefaidika sana na maendeleo na ushirikiano wa China tangu kuanzishwa kwa China Mpya miaka 75 iliyopita, Joseph Kahama, katibu mkuu wa Jumuiya ya Kukuza Urafiki kati ya Tanzania na China, aliiambia Xinhua kabla Siku ya Kitaifa ya China. Tangu kuanzishwa kwake mnamo Oktoba 1, 1949, Jamhuri ya Watu wa …